Monday, April 25, 2016

Mbunge wa Morogoro mjni Abdulaziz Abood amaliza mgomo wa daladala.

Madereva na makondakta wa daladala zinazotoa huduma ndani ya manispaa ya Morogoro wakisukuma gari la Mbunge wa Morogoro mjini,Aziz Abood baada ya kumaliza mgogoro wao na Sumatra.
Madereva wa daladala zinazotoa huduma katika manispaa ya Morogoro wakimpongeza Mbunge wao Aziz Abood kwa kumaliza mgogoro kati yao na Sumatra.

Mbunge wa Jimbo la Morogoro mjini Aziz Abood akizungumza katika kikao cha kusuluhisha mgogoro kati ya madereva wa daladala na Sumatra

No comments:

Post a Comment