Sunday, May 3, 2015

Matukio ya ugaidi yanukia Morogoro

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro,Leonad Paul akionyesha baadhiya zana za mlipuko walizokatwa nazo watu wanaosadikiwamagaidi wilayani Kilombero

Askari Polis,Koplo Daby akipata matibabu katika zahanati ya jeshi la polisi mkoa wa Morogoro baada ya kukatwa na jambia shingoni na mtuhumiwa aliyesadikiwa ni gaidi wilayani Kilombero.

No comments:

Post a Comment