Waandishi wa habari mkoani morogoro katika majadiliano juu ya uanzishwaji wa Mradi wa madini ya Kinywe uliopo wilayani Ulanga. |
Mwakilishi wa Chaneli Ten mkoa wa Morogoro,Jimmy Mingele akichangia mada katika semina hiyo. |
Majadiliano yakiendelea baada ya kupata taarifa za mradi huo. |
Mkurugenzi wa MTL Consulting,John Tindyebwa akifafanua jambo katika semina ya wanahabari juu ya uanzishwaji wa mradi wa madini ya Kinywe wa Epanko uliopo Ulanga. |
No comments:
Post a Comment