![]() |
Askari wa Bunge wakiingiza geneza la mwili wa marehemu Celina Kombani katika uwanja wa jamhuri Mororgoro aliposomewa ibada ya kumuaga kabla ya mazishi yaliyofanyika katika shamba lake Lukobe. |
![]() |
Mwili wa Marehemu,Celina Kombani ukiwa katika uwanja wa jamhuri huku ibada ya maombolezi ikiendelea. |
Viongozi wa serikali na Chama cha Mapinduzi wakiaga mwili huo katika uwanja wa jamhuri mjini Morogoro |
Spika wa Bunge,Anna Makinda wakipeana pole na Mama Salma Kikwete katika ibada ya kumuaga Mh.Celina Kombani mjini Morogoro. |
Baadhi ya waombolezaji wakiaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Utumishi Menejimenti ya Umma Celina Kombani mjini Morogoro. |
No comments:
Post a Comment