Vijana kutoka Afrika Kusini wakitembelea maeneo yaliyoishi wapigania uhuru wa Afrika Kusini |
Katika eneo la Hospitali ya Mazimbu |
Vijana kutoka Afrika Kusini wakitembelea eneo la mifugo |
Wakisikiliza maelezo kutoka kwa viongozi |
Afisa Mkuu wa masuala ya Urithi kutoka Afika Kusini Sonwabile Mancotyeor akiweka shada la ua katika mnara wa kumbukumbu. |
Naibu Mkuu wa Kampasi ya Solomon Mahlangu kutoka chuo cha Sokoine cha Kilimo (SUA),Mhandisi Frederick Kahimba akiweka shada la ua katika mnara wa kumbukumbu. |
Tlholo Mohlathe akiweka shada la ua katika mnara wa kumbukumbu kwa niaba ya vijana wa Afrika Kusini. |
Vijana kutoka Afrika ya kusini wakiwa katika picha ya pamoja katika mnara wa Kumbukumbu. |
Makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini. |
Vijana wa Afrika Kusini wakithuru makaburi. |
Vijana wa Afrika ya Kusini wakipata malezo kutoka kwa viongozi. |
No comments:
Post a Comment