Thursday, October 11, 2012

MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUAGAJI YAPOTEZA MAISHA YA WANANCHI

mapigano ya wakulima na wafugaji.         
“Gari la Polisi likiwa limepakia miili ya watu wawili baada ya kuokotwa vichakani katika maeneo ya mashamba ya wakulima katika kitongoji cha Kikenge, Wilayani Kilosa , Mkoani Morogoro baada ya kuuawa kikatili kwa kuchinjwa shingo zao na sime na wafugaji wa jamii ya kimasai baada ya kutokea mapigano ya pande hizo mbili.”

No comments:

Post a Comment