Mlemavu wa miguu anayefahamika kwa jina la Popo katika maeneo ya morogoro mjini akijiandaa kutoa adhabu kwa kibaka aliyemwibia mara baada ya kukamatwa na wapita njia. |
Mpita njia akimsadia mlemavu kumkamata kibaka aliyemwibia katika eneo lake la biashara barabara ya kitope manispaa ya morogoro. |
Mlemavu wa miguu,Popo akimwangalia kwa hasira kibaka huyo mara baada ya kumpa kipigo kikali. Kimath-Moro. |
No comments:
Post a Comment