Wednesday, September 2, 2015

UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA MIKUMI,JONAS NKYA AWASHA MOTO.

Wananchi wa Jimbo la Mikumi wakisikiliza viongoz wa chama wakati wa ufunguzi wa kampeni jimboni hapo.


Mwenyekiti wa CCM,Mkoa wa Morogoro,Innocent Kalogeres akisalimiana na baadhi ya wagombea Ubunge na Udiwani. 

Wananchi wakifuatilia mkutano.

Mwenyekiti wa CCM,mkoa wa Morogoro,Innocent Kalogeres akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Mikumi Jonas Nkya

Umati wa watu wakifuatilia mkutano.

No comments:

Post a Comment